Kwenye # SerengetiFiesta jana ilikuwa ni
# shidaaaaah , Davido amekili live Kuwa Alikiba ni
sayari nyingine.
kama ulifuatilia ubishi wa hawa jamaa wawili kati
ya alikiba na diamond kwenye stage jana hakuna
haja ya kuendelea kuwapambanisha tena kwani
mpaka show kumalizika ilikuwa wazi kuwa kuwa
kuna mmoja kati yao alkuwa ni mzee wa
magumashi kati ya hao jamaa wawili,je unadhani
stage iliamua kuwa nani alikua mzee wa
magumashi??
# shidaaaaah , Davido amekili live Kuwa Alikiba ni
sayari nyingine.
kama ulifuatilia ubishi wa hawa jamaa wawili kati
ya alikiba na diamond kwenye stage jana hakuna
haja ya kuendelea kuwapambanisha tena kwani
mpaka show kumalizika ilikuwa wazi kuwa kuwa
kuna mmoja kati yao alkuwa ni mzee wa
magumashi kati ya hao jamaa wawili,je unadhani
stage iliamua kuwa nani alikua mzee wa
magumashi??
Post a Comment